MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 350
Wanandg niaje ninaomba msaada plz. Nina2mia UBUNTU ila mara ya kwanza nilikuwa nina2mia Ubuntu (versen 9.4) ila ilikuwa hainipi chance ya ku2mia modem. Nikitaka ku2mia modem inanipa sehemu ya kuingiza code ili niruhusu modem. Ila mwenzangu akaja na Ubuntu lakn (versen 10.4) inaruhusu ku2mia modem lakn mm pia baada ya kuchukuwa alafu nikaweka ikakataa na inanipa meseji inasema (not support) . Na laptop ninayo2mia ni sawa na yamshkaj yan zote ni TOSHIBA ila yangu inakataa so msaada plz