Wernery G Kapinga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 381
- 131
Nahitaji kununua simu aina ya tecno K7. Nimeipenda kwa sababu ina **fingerprint**
Je, ni kweli fingerprint haitaruhusu mwingine kufungua au kutumia simu yangu? Yaani hata kama anaijua password, fingerprint hatokuwa nayo na hatoweza kufungua na kutumia au kusoma?
Asante
Je, ni kweli fingerprint haitaruhusu mwingine kufungua au kutumia simu yangu? Yaani hata kama anaijua password, fingerprint hatokuwa nayo na hatoweza kufungua na kutumia au kusoma?
Asante