kitambo sana hayo maeneo hapo nilikuwa nasindikiza wadau tu sio kusoma.
Mkuu kwani mdogo wako anakaa wapiz we mwambie tu aende mwenyewe kila kitu atajua hukohuko maana kwanza hakuna ratiba maalumu watu wanapigia pindi hata dirishani, cha msingi ajue alichofuata kule sijui kwa miaka hii kama kuna utaratibu mzuri.