msaada please nimechoka

masanzu

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2013
Posts
605
Reaction score
219
Habari wanajamvi
Jamani shida yangu ni mmoja tu nahitaji ni app gani ambayo itaniwezesha ili kuweza kuhuck simu ya wife maana mmmh please serious mwenye
uelewa
 
Una moyo wa kuvumilia utakayo yaona
 
Pole sana mkuu, kuna uzi humu JF ulijadili hiyo issue lakini ukipata huo ujuzi usitumie kwa wife matatizo yatazidi ni vizuri kutumia for security purpose kama kujua nini maadui zako wanataka kukufanyia na ukijua usifundishe watu utaleta maafa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…