Kama yuko facebook,twiter, histogram, tango, google,kuna sehemu kwenye cm anaiyamlisha majina yaingie kwenye cm ikiwa pamoja na namba na e mail sio zako ni za marafiki zake wote walio na hizo account.ni sehemu hata wewe unaweza kuingia bila kujua ni kubovya OK majina yanaingia automatic, UCOGOTE HAUSHIKWI WE KULA MIGOMA