Msaada please kwa wanaotumia simu za android.

mtoto mpole

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2010
Posts
678
Reaction score
148
Eti inakuaje ukapata phonebook ya mtu mwingine kwenye simu yako....mfano mimi nina simu samsung s3..then mchumba ana BB.....mara tu unaona kwa contact zangu yaan kwenye simu yangu samsung zipo pia contact za mchumba wangu...hapo sijawahi kuchukua line yake na kueka kwenye simu yangu sijawahi wala yeye kuchukua line yangu kueka kwake...najiuliza je zilihamaje toka kwake kwenye simu yake kuja kwangu....na je kuna anymeans anaeza akawa may be amefanya vitu ili apate communication zangu....help pleaseeee hii inaeza ikawa ni nini?sijui nimeeleweka vizuri?
 
It can be that your girlfriend synsynchronized your phone to hers. Or if you if she has a google+ account she may have once opened it using your phone. Or you in hers. Point is Google + automatically saves the contacts of your friends on the Android phone used by merging it with the already existing phonebook content. Good luck though in finding the truth.
 
Du huyo demu kakuzidi akili kaa nae sawa kafanya synchronisation ya contacts.
 
Android ina synchronizes address book kutoka source mbalimbali eg Facebook, Google account nk, kutegemea na jinsi ulivyo setup cm yako.
 

Kama yuko facebook,twiter, histogram, tango, google,kuna sehemu kwenye cm anaiyamlisha majina yaingie kwenye cm ikiwa pamoja na namba na e mail sio zako ni za marafiki zake wote walio na hizo account.ni sehemu hata wewe unaweza kuingia bila kujua ni kubovya OK majina yanaingia automatic, UCOGOTE HAUSHIKWI WE KULA MIGOMA
 

umenkumbusha mbali na hio histogram


mwalimu wa hesabu: mtafundishwa na mwalimu wa geography

mwalimu wa geography: hii kwenye hesabu ipo mtaisoma huko huko
 
umenkumbusha mbali na hio histogram


mwalimu wa hesabu: mtafundishwa na mwalimu wa geography

mwalimu wa geography: hii kwenye hesabu ipo mtaisoma huko huko

mkuu umenikesha sana...nakumbuka walimu walivyokuwa wanarushiana mpira
 
umenkumbusha mbali na hio histogram


mwalimu wa hesabu: mtafundishwa na mwalimu wa geography

mwalimu wa geography: hii kwenye hesabu ipo mtaisoma huko huko

Hahahaha.... Yaap hata sis ilitukuta topic ya statistics.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…