Yanabadilika
Member
- Feb 25, 2014
- 34
- 15
Habari zenu,tafadhali mwenye kujua mahali naweza kupata pikipiki hizi za kuchaji na bei zake pia
Labda hizi ni za wanawake yeye alikuwa anataka za wanaumenicheck inbox nikutumie mkuu
![]()
ndo yale passo ni za kike hahah.. kuna mambo mengi sana tunayawaza ambayo ni hewa, ukitoa hewa za serikaliLabda hizi ni za wanawake yeye alikuwa anataka za wanaume
Hapana mkuu zenyew badala ya kutumia mafuta zinatumia umeme
Weka hapa tunao hitaji ni wengi mkuunicheck inbox nikutumie mkuu
![]()
Sipati picha unakatiza nayo mikumi halafu ghafla charge inakata!!!lazima uanze kuimbaa ...mbinguniiii kuna makaaao mazuri saaaana.....!!











OK mkuuWeka hapa tunao hitaji ni wengi mkuu