BlackWolf
Member
- Aug 1, 2015
- 11
- 18
Habari wa weekend wanajamvi!
Naomba msaada wa kuelewa hili tatizo, nina PC hapa EliteBook HP kuanzia jana jioni inaleta maruweruwe.
Nikiwa naitumia inazima ghafla hata kama chaji iko ya kutosha na nimejaribu pia ikiwa direct connected na chaja.
Kimbembe kinakuja ikijizima, kuwaka inachukua muda kidogo na itafanya hivyo mara kadhaa kabla ya kukaa sawa na tatizo kujirudia baada ya muda.
Naomba msaada wa kitaalamu kwa wajuvi wa mambo
Asanteni!
Naomba msaada wa kuelewa hili tatizo, nina PC hapa EliteBook HP kuanzia jana jioni inaleta maruweruwe.
Nikiwa naitumia inazima ghafla hata kama chaji iko ya kutosha na nimejaribu pia ikiwa direct connected na chaja.
Kimbembe kinakuja ikijizima, kuwaka inachukua muda kidogo na itafanya hivyo mara kadhaa kabla ya kukaa sawa na tatizo kujirudia baada ya muda.
Naomba msaada wa kitaalamu kwa wajuvi wa mambo
Asanteni!