jibu swali muhimu hapo juu game gani?sina CD ya drivers nifaneje? magemu yote linagoma
ni game gan hiyo inayokataa izo padi kwasababu sio lazima kuwa na driver za padinlinunua pad za kucheza Game kwenye PC sasa nkafika home nkachomeka zinagoma ila zinawaka vizuri vitaa vyake,pad zenyewe ni UCOM..... je kuna tatizo gani?
u com haina ulazima wa kuwekadriverni game gan hiyo inayokataa izo padi kwasababu sio lazima kuwa na driver za padi
Hapo huenda game ndilo ambalo hali kubal padnlinunua pad za kucheza Game kwenye PC sasa nkafika home nkachomeka zinagoma ila zinawaka vizuri vitaa vyake,pad zenyewe ni UCOM..... je kuna tatizo gani?