olele
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 1,305
- 1,574
Habarini za kazi wakuu, poleni na uchaguzi maisha lazima yaendelee..
Naombeni msaada wa ushauri wa kitaalamu na kitaaluma pia. Tafadhali sana kama ww hujui au
unaona haikuhusu pitia mbali, si lazima uchangie.
iko hivi: kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu siwezi kwenda chuo kusoma bachelor moja kwa moja maana niko kazini (kukaa chuoni 3yrs)..
so naona option iko moja tu nayo ni open university, nakata kusoma Bachelor of Science in ICT (nina diploma ya IT)
lakini nina mashaka kuhusu hiki chuo..
Je Elimu nitakayopata nitaweza kuwa na uwezo stahiki (kama mwanafunzi anayesoma vyuo vikuu vingine)
Je hadhi ya chuo hiki kwenye soko la ajira ikoje (naweza kushindana na watu walisoma vyuo vingine)
Je nitaweza kusoma na kufaulu
na mambo mengine ambayo unaweza kuona yakanisaidia..
Kwa wale ambao wamesoma OPEN na mna uzoefu nayo KARIBUNI SANA
nawasilisha..
Naombeni msaada wa ushauri wa kitaalamu na kitaaluma pia. Tafadhali sana kama ww hujui au
unaona haikuhusu pitia mbali, si lazima uchangie.
iko hivi: kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu siwezi kwenda chuo kusoma bachelor moja kwa moja maana niko kazini (kukaa chuoni 3yrs)..
so naona option iko moja tu nayo ni open university, nakata kusoma Bachelor of Science in ICT (nina diploma ya IT)
lakini nina mashaka kuhusu hiki chuo..
Je Elimu nitakayopata nitaweza kuwa na uwezo stahiki (kama mwanafunzi anayesoma vyuo vikuu vingine)
Je hadhi ya chuo hiki kwenye soko la ajira ikoje (naweza kushindana na watu walisoma vyuo vingine)
Je nitaweza kusoma na kufaulu
na mambo mengine ambayo unaweza kuona yakanisaidia..
Kwa wale ambao wamesoma OPEN na mna uzoefu nayo KARIBUNI SANA
nawasilisha..