zamani nilikuwa najua ni story za kutungwa tu au chai lakini hii nimeshuhudia mwenyewe,ni hivi mzee aliamua kujenga kibanda ( nyumba) katika wilaya moja ya pwani nyumba ilijengwa kwa madhumuni kama tukitaka kwenda tuwe na mahali pakufikia bahati mbaya ile nyumba toka ijengwe hatujawahi kwenda tukaona isiwe kesi yasije kuwa mahame tukatafuta watu wakae ili pachangamke kidogo kilichowakuta wamefungasha virago wenyewe ndani ya week ni kwamba usiku wakilala wanapigwa makofi na kucharazwa bakora, juzi wamepashindwa wamerudisha funguo sio kwa bakora na makofi wanayopata,msaada jamani njia gani ya kuweza kufukaza hao viumbe ......
Yawezekana mzee aliwajengea hao viumbe wahishi humo, lakini ninyi mkaamua kuwadhulumu na kuwahanganya na watu, ndiyo maana hao viumbe wanawacharaza bakora kulinda himaya yao
Nendeni wenyewe mlale humo hata wiki ili upate ushahidi wakutosha
Akichoma kiti Moto au kupika hapo ndani majini lazima yakimbie yakimbilie msikitini.Kiboko Cha majini Ni kitimoto .Hata mtu akiwa na majini mlishe kitimoto yataondoka hayarudi tenaNipe mimi nithibitishe. Hayo madude yanatisha watoto. Nenda na nyama ya nguruwe tu
Si ameomba msaada? Atachambua unaomfaa![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daa sio bangi hizi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Sayansi ya Afrika ni kutandika viboko watu usiku!
Sasa huo si ushirikina tena yani unaamini nyama ya nguruwe ina uwezo wa kutoa majini?Akichoma kiti Moto au kupika hapo ndani majini lazima yakimbie yakimbilie msikitini.Kiboko Cha majini Ni kitimoto .Hata mtu akiwa na majini mlishe kitimoto yataondoka hayarudi tena
Masuala ya sayansi yameingiaje tena? Halafu sayansi ni sayansi tu haina matabaka hivyo.Sayansi ya Afrika ni kutandika viboko watu usiku!
Shida ni kwamba hatalala atakesha na tutakosa mrejeshoBado ni story mpaka Uchapwe wewe...![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao ukute wametunga tu...Kalale wewe mkuu acha mastory ya uongoo hayo
Kweli kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila usingizi noma atapitiwaa tu mzee aamshwe na bakoraaa za maana..!!Shida ni kwamba hatalala atakesha na tutakosa mrejesho
Hahaaa eti kama walikua wavuta bangiHamna ugomvi wa ndugu wa mirathi ya Huyo babu yenu? Na hamna kaburi Hilo eneo msije kuwa mumejenga karibu ya kaburi au juu ya kaburi Kuna Marehemu wengine wakorofi hawatulii kwao walikozikwa hutoka kufanya vurugu hasa Kama walikuwa Vibaka Vibaka au wavuta bangi
Mifupa ya nguruwe.zamani nilikuwa najua ni story za kutungwa tu au chai lakini hii nimeshuhudia mwenyewe,ni hivi mzee aliamua kujenga kibanda ( nyumba) katika wilaya moja ya pwani nyumba ilijengwa kwa madhumuni kama tukitaka kwenda tuwe na mahali pakufikia bahati mbaya ile nyumba toka ijengwe hatujawahi kwenda tukaona isiwe kesi yasije kuwa mahame tukatafuta watu wakae ili pachangamke kidogo kilichowakuta wamefungasha virago wenyewe ndani ya week ni kwamba usiku wakilala wanapigwa makofi na kucharazwa bakora, juzi wamepashindwa wamerudisha funguo sio kwa bakora na makofi wanayopata,msaada jamani njia gani ya kuweza kufukaza hao viumbe ......
Hamna ugomvi wa ndugu wa mirathi ya Huyo babu yenu? Na hamna kaburi Hilo eneo msije kuwa mumejenga karibu ya kaburi au juu ya kaburi Kuna Marehemu wengine wakorofi hawatulii kwao walikozikwa hutoka kufanya vurugu hasa Kama walikuwa Vibaka Vibaka au wavuta bangi
[/QUOTE
Nimecheka sana