Msaada: Nitumie mbinu ipi ili watoto wapende kujisomea?

Dada yangu alibuni mbinu za kununua A, yaani mtoto anaepata A analipwa kiasi alichokubaliana na wazazi.
Ananiambia kuna mmoja alikuja na A 6. Fikiria kama mlikubaliana A moja ni laki moja!

Lakini alifanikiwa.
hata baba yangu alitumia hii njiaa! leo hii ninakula matundaa hayoo
 
Wewe mwenyewe hujisomei unategemea mtoto ajisomee nn?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…