AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,536
- 4,513
Ninaharisha tu maji maji bila tumbo kuuma sasa nimetumia 'loperamide' wakati huo huo nina dose ya kifua ya koflyn(diphenhydramine) pamoja na amoxlyn(antibiotics).
Sasa naona mafua yameanza mpaka macho yanauma nikifumbua sana na kifua ndio kama kawaida sasa nahofia kunywa hiyo dose yangu nikihofia reaction itakayotokea na diclofenac ya maumivu pia nimepewa.
Sasa ninafanyaje maana dawa ni nyingi sana je hakuna madhara yoyote yatakayotokea...?
NB: ni jana nimetoka kituo cha afya wamepima malaria uti hakuna sasa wakanambia nirudi wacheck labda na typhoid ila kifua tu ndio wakaniandikia hizo dawa(wakati huo kuharisha kulikuwa bado maana kumeanza usiku huu).
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa naona mafua yameanza mpaka macho yanauma nikifumbua sana na kifua ndio kama kawaida sasa nahofia kunywa hiyo dose yangu nikihofia reaction itakayotokea na diclofenac ya maumivu pia nimepewa.
Sasa ninafanyaje maana dawa ni nyingi sana je hakuna madhara yoyote yatakayotokea...?
NB: ni jana nimetoka kituo cha afya wamepima malaria uti hakuna sasa wakanambia nirudi wacheck labda na typhoid ila kifua tu ndio wakaniandikia hizo dawa(wakati huo kuharisha kulikuwa bado maana kumeanza usiku huu).
Sent using Jamii Forums mobile app