Msaada: Nina hali la kutamani kila Mwanamke

Msaada: Nina hali la kutamani kila Mwanamke

Mzurulaji

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2021
Posts
292
Reaction score
691
Nina tatizo kubwa binafsi kwangu naona kama ni tatizo kubwa kwa sababu sikuwaga hivi.

Kwasasa nina hali ya kutamani kila mwanamke, huenda mwingine akasema hiyo ndio sifa ya mwanaume kamili lakini naweza sema katika sifa hiyo uwaga inamipaka yake, si kila mwanamke na si kika wakati.

Mwingine atasema huenda hujafanya kufanya mapenzi muda mrefu jibu ni hapa. Ninaye mwanamke wangu ambaye kila siku huwa ananipa hitaji langu, lakini hii hali haitokomei ndio inazidi kila siku na kila wakati ambaye alishawahi kukutana na hali hii anipe ushauri anipe mawazo au utatuzi ambao aliufanya.
 
Nina tatizo kubwa binafsi kwangu naona kama ni tatizo kubwa kwa sababu sikuwaga hivi.

Kwasasa nina hali ya kutamani kila mwanamke, huenda mwingine akasema hiyo ndio sifa ya mwanaume kamili lakini naweza sema katika sifa hiyo uwaga inamipaka yake, si kila mwanamke na si kika wakati.

Mwingine atasema huenda hujafanya kufanya mapenzi muda mrefu jibu ni hapa. Ninaye mwanamke wangu ambaye kila siku huwa ananipa hitaji langu, lakini hii hali haitokomei ndio inazidi kila siku na kila wakati ambaye alishawahi kukutana na hali hii anipe ushauri anipe mawazo au utatuzi ambao aliufanya.
Ukipata tiba ya hili tatizo nishtue, manake hili tatizo hadi kufunga na kuomba nimefanya lakini naona ndo inazidi
 
Nina tatizo kubwa binafsi kwangu naona kama ni tatizo kubwa kwa sababu sikuwaga hivi.

Kwasasa nina hali ya kutamani kila mwanamke, huenda mwingine akasema hiyo ndio sifa ya mwanaume kamili lakini naweza sema katika sifa hiyo uwaga inamipaka yake, si kila mwanamke na si kika wakati.

Mwingine atasema huenda hujafanya kufanya mapenzi muda mrefu jibu ni hapa. Ninaye mwanamke wangu ambaye kila siku huwa ananipa hitaji langu, lakini hii hali haitokomei ndio inazidi kila siku na kila wakati ambaye alishawahi kukutana na hali hii anipe ushauri anipe mawazo au utatuzi ambao aliufanya.
Tembeza mkuyenge mkuu, lakini angalia wake za watu isije tukapata connection ukiliwa kiboga, be careful.
 
Nina tatizo kubwa binafsi kwangu naona kama ni tatizo kubwa kwa sababu sikuwaga hivi.

Kwasasa nina hali ya kutamani kila mwanamke, huenda mwingine akasema hiyo ndio sifa ya mwanaume kamili lakini naweza sema katika sifa hiyo uwaga inamipaka yake, si kila mwanamke na si kika wakati.

Mwingine atasema huenda hujafanya kufanya mapenzi muda mrefu jibu ni hapa. Ninaye mwanamke wangu ambaye kila siku huwa ananipa hitaji langu, lakini hii hali haitokomei ndio inazidi kila siku na kila wakati ambaye alishawahi kukutana na hali hii anipe ushauri anipe mawazo au utatuzi ambao aliufanya.
Je, Hadi Mama yako na Dada zako nao unawatamani?
 
Nina tatizo kubwa binafsi kwangu naona kama ni tatizo kubwa kwa sababu sikuwaga hivi.

Kwasasa nina hali ya kutamani kila mwanamke, huenda mwingine akasema hiyo ndio sifa ya mwanaume kamili lakini naweza sema katika sifa hiyo uwaga inamipaka yake, si kila mwanamke na si kika wakati.

Mwingine atasema huenda hujafanya kufanya mapenzi muda mrefu jibu ni hapa. Ninaye mwanamke wangu ambaye kila siku huwa ananipa hitaji langu, lakini hii hali haitokomei ndio inazidi kila siku na kila wakati ambaye alishawahi kukutana na hali hii anipe ushauri anipe mawazo au utatuzi ambao aliufanya.
Fanya kazi unasumbuliwa na jini ufukara
 
Una >nyota ya kifo"
200.gif
 
Kuna hizi sababu kuu tatu,

  1. Upo kwenye stage ya ukuaji
  2. Huna kazi ya kukushughulisha
  3. Huna majukumu ya kimaisha.
 
What you feed grow..

What you starve perish...
 
Back
Top Bottom