Yusuph Wernery
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 316
- 147
Nimesahau patterns ya smartphone yangu
Ingia kwa password ya gmail.Nimesahau patterns ya smartphone yangu
Oya ni hivii kwanza unatumia simu ya aina gani?Nipe hints naingilia wap?
Eheee hapo sawa Fanya hivi alafu hakikisha sim iwe INA chaji angalau 30%Tecno lite w5
endapo uka shindwa kabisa na weza kukutolea ila kwa malipo ya shilingi elfu 7Tecno lite w5
Nimesahau patterns ya smartphone yangu
Nimesahau patterns ya smartphone yangu
Huyo ni mwizi pengineEheee hapo sawa Fanya hivi alafu hakikisha sim iwe INA chaji angalau 30%
Chakufanya Fanya hivi zima simu yako alafu bofya batani ya kuongezea sauti na ya kuwashia zibonyeze kwa pamoja afu kwa umakini baada ya hapo italeta maneno flani we utapeleka palipo andikwa Mclear utabonyeza OK kwa kutumia batani za power on afu baada ya hapo uta peteka palipo andikwa reboot hapo utaona sim itazima afu itawaka ila kiwaka inaweza chukua dakika kama kumi hivi baada ya hapo tafuta simu nyingine kando na hiyo uconnect Wife alafu ufungue akaunti ya gmail mpaka hapo itakua tiyari
Ukishindwa nitumie nambaako ya whatsapp nikuelekeze kiurahisi sawa