Mkuu mimi mwenyewe nimemshangaa, ila nikareset baada ya hapo ukitaka kufungua baadhi ya app inaomba kusign in na hy email inaonekana lkn password ndio imeleta shida, wala sio ya wizi anayo mda mrefu na aliniuzia simu yake ya zamani baada ya kuletewa hiyoInawezekana vipi utumie simu zaidi ya miaka miwili...uje usahau namba ya siri hivi hivi.....
Kwa matumizi ya iPhone huwezi kufanya task nyingi bila ya kujua...pasword zako....sasa yeye kwa kipindi cha miaka hiyo miwili alikuwa anafanyaje hayo pasi na kujua hizo pasword.....
Inawezekana wewe umeuziwa simu ya wizi sasa unatafuta namna ya kuifungua.....
Ya email ya app mkuu yaani hawezi ku download app yoyote au ku update mpaka aingize password za hiyo email, ila simu anapiga na sms piapassword ya nn
-ku unlock phone
-ya email ya simu
-ya icloud/itunes account
-ya app husika
hauko specific ni password ipi
Cm ya wizi hiyo mkuu,sema ukweli.Habari wana jf,
Kuna rafiki yangu anatumia simu ya iphone 6 aliletewa na kaka yake na pia kaka yake huyo ndio alimuunganisha simu yake na email yake, sasa rafki yangu kachezea simu yake, sasa inahitaji password na kaka kaisahau, hawezi ku update app yoyote.
Sio ya wizi mkuu anaitumia mda tuu kaletewa na kaka yake, na hiyo email inasoma jina la kaka yake na ndo yeye kaisahau hy password, huyu rafki yangu hajui chochote kuhusu hizo simu anadai ni ngumu sana kutumiaCm ya wizi hiyo mkuu,sema ukweli.
Apple namba nyingne mkuu haifunguki kirahiciInafunguka wasikutishe hao tena bila kutumia jail break ila kitu muhimu utapoteza data zako
Kama kweli sio simu ya wizi, huu ushauri unamtosha sanaSi umesema kaiunga kwa email ya kaka yake mwambie ai reset password kwa kutumia hiyo email. Yani aende kwenye web ya apple kwenye forgot password aweke email aliyotumia atatumiwa link ya kureset password via email
Hizo mbwembwe tu hata sisi tunazo
Hapana mkuu, hiyo simu anayo karibu miaka miwili sasa na huyo kaka yake hua anaenda China. Na ndie alimletea hiyo simu
Unaweza tumia email yotote sio lazima iwe ya icloud mbona mimi natumia email yangu ya gmailMimi sio mtumiaji wa hizi simu, yeye kaniambia apple hua na email yake pekee km ilivyo gmail ya playstore, simu anapiga sms za kawaida anatuma na kutumiwa, lkn tatizo hawazi ku update app yoyote na hata whatsapp yake imegoma