Msaada; Nimeitwa kwenye usaili US embassy

Msaada; Nimeitwa kwenye usaili US embassy

Shebie Skonge

Member
Joined
Jul 10, 2015
Posts
7
Reaction score
0
Habari wanajamii Leo nimepigiwa simu ya kuitwa kwenye usaili wa nafasi ya Mail room pale US embassy hivyo naomba mwenye ushauri au uelewa wa maswali yanayoulizwa anijuze tafadhali
 
Ccm imeharibu sana watu wa hii nchi mpasie wa Kenya akakufanyie huo mtihani.
 
AcHa ujinga kijana US embassy wako strategic sana kwenye mambo yanayoHusu ajira!!. usifikiri kuna desa linaloweza kukutoa kama Hauko fit by nature. Halafu Hii style yako ya kuomba msaada kwenye mitandao namna Hii tayari imesHakutoa kwenye usaili, Hao jamaa ni wataalamu sana wa kucHeza na mitandao...na kufuatilia issues/watu sio kam tz.
 
AcHa ujinga kijana US embassy wako strategic sana kwenye mambo yanayoHusu ajira!!. usifikiri kuna desa linaloweza kukutoa kama Hauko fit by nature. Halafu Hii style yako ya kuomba msaada kwenye mitandao namna Hii tayari imesHakutoa kwenye usaili, Hao jamaa ni wataalamu sana wa kucHeza na mitandao...na kufuatilia issues/watu sio kam tz.

Duuh mkuu kwani mi ni wa kwanza kuomba msaada umu
 
AcHa ujinga kijana US embassy wako strategic sana kwenye mambo yanayoHusu ajira!!. usifikiri kuna desa linaloweza kukutoa kama Hauko fit by nature. Halafu Hii style yako ya kuomba msaada kwenye mitandao namna Hii tayari imesHakutoa kwenye usaili, Hao jamaa ni wataalamu sana wa kucHeza na mitandao...na kufuatilia issues/watu sio kam tz.

Sema tu hujui la kumshauri si ukae kimyà
 
Ndugu yangu wewe jiamini..
Ukiuluzwa swali unalijua jaribu kutoa maelezo ya kutosha juu ya unachofahamu, kama swali hulijui sema sijui usipigepige chenga.

Vaa ki heshima au vazi LA kiofisi (unaelewa nafikiri)

Kikubwa toa uoga..

Kuhusu maswali sijui hata moja ila pitia juu ya majukumu ya hio nafasi. Ukipata ka muda pitia tovuti ya huo ubalozi jua mwaka ambao ubalozi umeanzishwa na kwa malengo gani.

Ukiogelea juu ya haya Nina imani utajiweka kwenye nafasi nzuri.

Kama kuna mwingine aongezee..

Asante.
 
Ndugu yangu wewe jiamini..
Ukiuluzwa swali unalijua jaribu kutoa maelezo ya kutosha juu ya unachofahamu, kama swali hulijui sema sijui usipigepige chenga.

Vaa ki heshima au vazi LA kiofisi (unaelewa nafikiri)

Kikubwa toa uoga..

Kuhusu maswali sijui hata moja ila pitia juu ya majukumu ya hio nafasi. Ukipata ka muda pitia tovuti ya huo ubalozi jua mwaka ambao ubalozi umeanzishwa na kwa malengo gani.

Ukiogelea juu ya haya Nina imani utajiweka kwenye nafasi nzuri.

Kama kuna mwingine aongezee..

Asante.

Asante mkuu
 
Wengine wivu tu!!! Kama hamna majb c mnyamaze MWe!! Kwan ye ni wakwanza kuomba msaada kuhusu interview !
 
Si ajabu siku hiyo wamepanga kuku interview peke yako,nawewe umekuja kuji expose huku,hawapendi imeshakula kwako
 
Ndugu yangu wewe jiamini..
Ukiuluzwa swali unalijua jaribu kutoa maelezo ya kutosha juu ya unachofahamu, kama swali hulijui sema sijui usipigepige chenga.

Vaa ki heshima au vazi LA kiofisi (unaelewa nafikiri)

Kikubwa toa uoga..

Kuhusu maswali sijui hata moja ila pitia juu ya majukumu ya hio nafasi. Ukipata ka muda pitia tovuti ya huo ubalozi jua mwaka ambao ubalozi umeanzishwa na kwa malengo gani.

Ukiogelea juu ya haya Nina imani utajiweka kwenye nafasi nzuri.

Kama kuna mwingine aongezee..

Asante.
La kuongezea tu mdau sheby usisahau kupiga mswaki vizuri na kusafisha kucha zako!!!1 kila la kheri kaka
Ask your Mom why u always see me in her room!!!..................
 
Huwa wanapima uelewa wa mtu kuhumu ujuzi wa kazi husika so usijibu kama umekariri fikiri kidogo kabla ya kujibu swali pia wako fear sana so nijuhudi zako tu.
 
ni pm number yako nikupe mchakato mzima maana nina uzoefu napo
 
mkuu umeitwa kwa nafasi ya mail room au mail clerk,sababu nakumbuka hizo za mail room zilikua za siku nyingi na watu wako kazini tayari na interview iliyokua inasubiriwa ni ya mail clerk ambayo nafasi zake zilitangazwa mwezi uliopita?
 
mkuu umeitwa kwa nafasi ya mail room au mail clerk,sababu nakumbuka hizo za mail room zilikua za siku nyingi na watu wako kazini tayari na interview iliyokua inasubiriwa ni ya mail clerk ambayo nafasi zake zilitangazwa mwezi uliopita?

hizo za mail room hata me nilifanya usail na waliobahatika kupata sasa hivi watakua kazini siku nyingi sana,huyu mdau atakua kajichanganya labda.
 
Social network sio mahali pa ku-disclose kila personal issue. Sema ungeweza kuliwakilisha swali lako kwa namna ambayo, tusingejua unakwenda kufanyiwa interview wapi, na taasisi gani, na Cheo kipi. lakini ungepata taarifa za kutosha au kuunganisha kupata kile unachokiitaji. Ninasema hivi kwa sababu waajiri/ hr officers ni wanajamii kama tulivyo, nao pia wanakuwepo kwenye social network kama tunavyokuwaga. hivyo kutoa taarifa namna hii, inaweza ku-complicate situation kama wahusika nao wanashare network moja. lakini pamoja na hayo unahitaji kujua vitu general vinavyohusiana na position unayokwenda kuwa interviewed, hili unaweza pia ku-google kwa aina ya position, then utaanza kupata general ideas, unaweza ku-vary search yako kwa kutumia heading tofauti tofauti. pia unaweza ku-google general interview questions,hapa namaanisha hr-related Questions, ambayo mara zote ni generic world wide. plus pitia kwenye website ya taasisi husika, jaribu ku-learn Organiztion: visions, missions, products, etc. Finaly kama inawezekana jaribu kupitia/rewiew your Social network profiles, uangalie kama una affiliations yoyote na vikundi au taasisi nyingine zisizofungamana na taasisi husika( for US embassy wako concerned sana na Political au terrorists affiliations), try to put it more simple and normal, eliminate/delete profile zote zisizo za kistaarabu. then be confident,strong and talk,(speak what you know confidently,and loud but be honest if you don't know, you don't know)
 
Back
Top Bottom