Msaada, nimefungiwa kutumia WhatsApp

Msaada, nimefungiwa kutumia WhatsApp

yello masai

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2016
Posts
3,901
Reaction score
4,129
Wakuu nilikuwa natumia yo whatsapp, nimepigwa ban kama inavyoonekana hapa chini.
Namba hii ni muhimu sana kuwa whatsapp.
Nitumie ujanja gani kuifungua?


Screenshot_2023-08-09-11-15-51-612_com.yowhatsapp.jpg
 
Hiyo ni kuwasiliana nao tu kwann mnatumia app ambazo sio rasmii na hata kama ukitumia fata sheria sio unaanza kuwezesha hizo futures zao ambazo zingine zinakiuka utaratibu na sheria za WhatsApp ramsi...
 
Tumia app yao rasmi hizo GB whatsapp , Yo na FM whatsapp wanakupiga ban maksudi kabisa itafanya kazi baada ya muda wanakupiga ban ! Kama unataka kuamini kadownload app yao hapo hapo ukijisajili wanakutumia code !
 
Ili tatizo limenitokea na mimi, natumia whatsapp ya kawaida
 
Siku hizi sijui wamekuaje kitu kidogo tu ban
Tena wakati mwingine, unakuwa haujafanya jambo lolote baya!
Ilishawahi kunitokea hivyo, nikawaandikia email nikiwaomba waniambie kosa langu, kwani najiamini sijafanya kosa, au kukiuka taratibu zao. Baada ya muda, wakanifungulia!
 
Back
Top Bottom