Msaada: Nimechorewa Ramani na Architect, Sasa Nahitaji Fundi Mwashi

Msaada: Nimechorewa Ramani na Architect, Sasa Nahitaji Fundi Mwashi

Ramthods

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2009
Posts
515
Reaction score
187
Habari wadau wa JF,

Kwa muda wa wiki kadhaa nimekua nikifanya kazi na msanifu majengo anichoree ramani ya nyumba ndogo nayotarajia kuijenga kuanzia mwezi ujao.

Ni nyumba ndogo, yenye vyumba viwili, moja self-contained. Mchoro wake ni mzuri, ingawa sina uhakika kama hawa mafundi wetu wa mtaani wanajua kusoma ramani za kitaalam kama hizi.

Nachohitaji:
Nahitaji fundi, [kama unamfahamu naomba unifahamishe] anayeweza kujenga kwa kufuata michoro.
Ila, kabla ya kuanza ujenzi, awe anaweza kufanya makadirio ya vifaa [materials] ili kupata makadirio ya gharama kutokana na mchoro wenyewe.

Nipo Dar.

NB: Napenda kufanya kazi na mtu makini anaependa kazi yake. Asiwe mtu wa kulipua kazi.

Kama utakua na ushauri wowote, pia ntashukuru sana.

Asanteni
 
Mm Nipo Arusha na ni Fundi naweza kufanya hio kazi
 
ebu wape hao local fundis unaodhani hawawezi kusoma ramani kasha utaniambia. Kwa taarifa yako hao wanajua sana na ndio wajenzi wetu wa kila siku la muhimu kabla ya kuingia naye mkataba akuletee ramani ya nyumba alizojenga na ikiwezekana nenda kaziona. wanaweza
 
kaka kwenye maswala ya umeme usinisahau,
 
Tupo macontracta wng tu piga 0713642037 fasta jengo linainuka na ushaur wa eneo wa kutosha
 
W fugwe ucropoke hao unaowataja wanajua kujengea tofali na c ujenz ujenz unamambo mengi kuna utaalamu wa ardhi vipmo vya ratio n.k mpka waelekezwe na makontrakta ndo wanafanya kitu cha ukwee otherwise provide ur house with two years
 
Nakufanyia hyo kaz nakila kifaa nakuandikia ila na ww uwe sirias na unachokisema 0713642037
 

Attachments

  • 1384331877675.jpg
    1384331877675.jpg
    132.1 KB · Views: 271
W fugwe ucropoke hao unaowataja wanajua kujengea tofali na c ujenz ujenz unamambo mengi kuna utaalamu wa ardhi vipmo vya ratio n.k mpka waelekezwe na makontrakta ndo wanafanya kitu cha ukwee otherwise provide ur house with two years

wako wanaofanya kazi nzuri kuliko hata hao unaowaita ma-contractors
 
quantity surveyor here from ardhi university, so kama unahitaji kupgiwa bills of quantities ya ujenz wako pamoja na usimamizi wa ujenzi wako, yaan kuhakikisha vipimo vya ramani yako vinafuatwa ipasavyo...!
 
Mbna w huonesh yako mbaya mi nzur zipo kabatin leta kaz co maneno
 

Attachments

  • 1384469147066.jpg
    1384469147066.jpg
    109.4 KB · Views: 170
  • 1384469226481.jpg
    1384469226481.jpg
    42.8 KB · Views: 150
Back
Top Bottom