MSAADA: Nime restore to default Kingamuzi cha CONTINENTAL. Nilikua na lengo la kusech channels manana zilipotea na kila nikijaribu zinarudi local channels peke yake nikashawishika kurestore hapo ndio nikaharibu kabisa. Nipo kijijini nimekuja kumtembelea bimkubwa na mvua hizi naaza kujutia maamuzi niliyochukua