Kwa nyumba yenye ukubwa wa 13m kwa 12m (urefu na upana), ili iwe na mwonekano mzuri, urefu wa paa (king post height) unatakiwa uweje kwa kipimo cha futi?
Kwa nyumba yenye ukubwa wa 13m kwa 12m (urefu na upana), ili iwe na mwonekano mzuri, urefu wa paa (king post height) unatakiwa uweje kwa kipimo cha futi?
Kutokana na span kuwa kubwa, ukitumia angle ya 45 paa litaenda juu sana ambapo kingpost height itabidi iwe 6m
Hapo nakushauri utumie angle ya 30 ambapo ili kupata height ya kingpost itabidi uchukue urefu wa wall plate (ambayo ni 12m) ugawanye na 3.5
Kingpost height = (12m/3.5) = 3.4m
Au ukiona angle 30 ipo chini kidogo, unaweza ukaongeza ikawa angle 35 ambapo factor ya kugawanyia itakuwa ni 3 so Kingpost height itakuwa ni 12m/3 ambayo ni sawa na mita 4
Kama unahitaji ramani, makadirio ya vifaa vya ujenzi tuwasiliane