Msaada ni mimi tu au ni wote

Msaada ni mimi tu au ni wote

Heri lee

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
981
Reaction score
538
Mimi nmekuwa nawataka au nikivutiwa na mademu lakini wote niwapendao huwa hawana muda na mimi lakini sasa kuna ambao wala sina interest nao ndio wanaojileta kwangu usinicheke .

Msaada please.
 
Ondoa tatizo la kujifanya matawi ya juu wakati wewe ni wa kawaida.
wanaokujia ndio size yako wakati wewe unajidhania ni matawi ya juu unawataka wale ambao wala
hata ujipitishe mara mia wao wanafuata matawi ya juu wenzao.
Ni kazi sana Twiga kuinama kula nyasi za chini wakati kuna miti mirefu yenye majani yasiyo na vumbi.
 
Ondoa tatizo la kujifanya matawi ya juu wakati wewe ni wa kawaida.
wanaokujia ndio size yako wakati wewe unajidhania ni matawi ya juu unawataka wale ambao wala
hata ujipitishe mara mia wao wanafuata matawi ya juu wenzao.
Ni kazi sana Twiga kuinama kula nyasi za chini wakati kuna miti mirefu yenye majani yasiyo na vumbi.

Watu mnamisemo...MISEMO AT WORK
 
Mimi nmekuwa nawataka au nkivutiwa na mademu lkn wote niwapendao huwa hawana mda na mimi lkn sasa kuna ambao wala sina interest nao ndio wanaojileta kwangu usinicheke msaada plz
holyland


Jitahidi kuiga tabia au muonekano wa mademu unaowapenda ili ufanane nao. Inawezekana hufanani na uwapendao
 
Jishushe tu,hao wanao kufua ndio level yako,kuna mda wasio kufuata na wenyewe watajishusha wafanane na wewe kuwa mpole wape muda.

Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
 
Ondoa tatizo la kujifanya matawi ya juu wakati wewe ni wa kawaida.
wanaokujia ndio size yako wakati wewe unajidhania ni matawi ya juu unawataka wale ambao wala
hata ujipitishe mara mia wao wanafuata matawi ya juu wenzao.
Ni kazi sana Twiga kuinama kula nyasi za chini wakati kuna miti mirefu yenye majani yasiyo na vumbi.

Duuuuuj hatar
 
Jishushe tu,hao wanao kufua ndio level yako,kuna mda wasio kufuata na wenyewe watajishusha wafanane na wewe kuwa mpole wape muda.

Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums

Uliwahi jishusha ukamfuata mtu?
 
Ondoa tatizo la kujifanya matawi ya juu wakati wewe ni wa kawaida.
wanaokujia ndio size yako wakati wewe unajidhania ni matawi ya juu unawataka wale ambao wala
hata ujipitishe mara mia wao wanafuata matawi ya juu wenzao.
Ni kazi sana Twiga kuinama kula nyasi za chini wakati kuna miti mirefu yenye majani yasiyo na vumbi.

Nimekupenda bure best.
 
Back
Top Bottom