Msaada network, Samsung galaxy s2

Msaada network, Samsung galaxy s2

Joined
Apr 21, 2014
Posts
14
Reaction score
2
Msaada jinsi ya ku fix tatizo la network kwenye simu yangu ya samsung galaxy s2,siwezi kupiga,kupokea simu au kutuma sms.
 
samsung ni jina tu ,piga chin au uza kanunue tecno hutajuta tena kwenye maisha yako
 
samsung ni jina tu ,piga chin au uza kanunue tecno hutajuta tena kwenye maisha yako

kuna uwezekano mkubwa ni setting tu kitu ambacho hata tecno kinaweza tokea maana os zao hazitofautiani, hebu angalia kama ipo kwenye flight mode uondoe, kuona hivyo ingia network settings
 
Cheki mobile network settings zako na pia eneo ulilipo. Kama ipo kwa wcdma only na eneo lako hakuna huduma ya 3g or H+ basi lazima uwe na tatizo la network. Kama eneo lako lina weak 3g signals nashauri uchange network mode to automatic na kama hamna 3g kabisa basi chagua gsm only. Hapo utakuwa umesolve tatizo mkuu.
 
Back
Top Bottom