Msaada: Naweza kufika Namibia kwa basi?

Umevurugwa ww huko uendako fursa ni chache

ukilinganisha na tz, tunazungumza kwa uzoefu

nafikiri challenge kubwa iliyopo kwa vijana wa tz

ni mitaji.
 
Duu namimi na fikilia kwenda uko ila galama no kubwa kwa sababu akuendeki na Basi ebu nipe maujanja
 
Mzee wa busara nakukubaligi hapo tu yaani
 
Umevurugwa ww huko uendako fursa ni chache

ukilinganisha na tz, tunazungumza kwa uzoefu

nafikiri challenge kubwa iliyopo kwa vijana wa tz

ni mitaji.
nazungumzia namna ya kuingia ili uweze kwenda sehemu ingine kwa urahisi zaidi... na nikatolea mfano kwa kisiwa kama maritius kuwa ukipata pass yao una weza kwenda monaco kama unaenda tz kwenda zenji.... na baada ya mwaka waweza pata uraia wa marit ambao utakuwezesha kwenda ktk baadhi ya nchi zingine kwa urahis....

zingatio katik kisiwa hiki kuna wageni wengi toka nchi mbali mbali hadi za ulaya wanaenda huko kwa utalii biashara nk... na raia wa SA na Zimbabwe ni wengi huko... wana jiusisha sana na mambo ya utalii...

nilimpata rafiki toka zimbabwe ana niambia amesajiri kampuni kwa ajiri ya utalii ila ana taka kuanza na kusafirisha watalii toka airport, hotel nk... na anasema kinacho mshinda kwa sasa ni basi tu kwa kuwa lesseni na work permit anazo... ktk yote ana tafta mtu wa kuweza kuungana nae ili wanunue basi kwa ajiri hiyo...
 
Yaani maelezo yako yamekaa kama unaenda kupigwa ndugu yangu,hii hadithi imekaa kitapelitapeli....nakutangulia pole zangu maana unajipeleka kwenye utapeli
 
Yaani maelezo yako yamekaa kama unaenda kupigwa ndugu yangu,hii hadithi imekaa kitapelitapeli....nakutangulia pole zangu maana unajipeleka kwenye utapeli
ina wezekana mkuu... lakini tatzo wengine huwa hatuogopi kufanya maamuzi ktk yale tunayo yaamini hata kama utateka watu wa muhimu ktk maisha yangu/yetu... huwa tuna amini ktk mimi na sio wewe yule au wale... ila tuna watumia wao, wale yule ninyi nk kama njia ya kujaza ubongo kuweza kuelewa mambo mengi yanayo endelea kwa undani or kwa kina...

kutapeliwa kila mtu ametapeliwa na wengine wanatapeliwa kwa namna mbalimbali...
 
Yaani maelezo yako yamekaa kama unaenda kupigwa ndugu yangu,hii hadithi imekaa kitapelitapeli....nakutangulia pole zangu maana unajipeleka kwenye utapeli
Cha muhimu ni kuwa makini tu, ila kiukweli wazimbabwe n kuwa makini nao japo sio wote..ila umakini unahitajika sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…