Nimepata muongozo wa kujaza fomu ya maombi..
.
.
Kama unaweza kuni connect moja kwa moja, then tukaenda kujaza hiyo fomu wakati tayari tunajua tuna nyumba, itapendeza.
Kujaza fomu na kuiacha unaweza kuitwa baada ya miaka miwili, kumbe watu wanapeana juu kwa juu