KAOROGOMA
JF-Expert Member
- Jun 26, 2015
- 510
- 756
Wakuu wangu mambo yamekuwa magumu sana nami naamua kuachika,
Mpaka sasa nimesha jenga nina biashara lakin imedorora sana, mpaka nimeifunga,
Nimeamua kwamba sasa hii 5,600,000 niliyonayo niende New Zealand kutafta Maisha ya juu zaid
Nataka nikifika nisake ajira hasa za udaktari
Alafu kila senti ntakayopata natuma nyumbani
Naomba ushauri wenu,
Wa wapi ulipo ubalozi wao,
Pili kama kuna anayejua njia ya shortcut kutoka hapa Tanzania anijuze,
Mpaka sasa nimesha jenga nina biashara lakin imedorora sana, mpaka nimeifunga,
Nimeamua kwamba sasa hii 5,600,000 niliyonayo niende New Zealand kutafta Maisha ya juu zaid
Nataka nikifika nisake ajira hasa za udaktari
Alafu kila senti ntakayopata natuma nyumbani
Naomba ushauri wenu,
Wa wapi ulipo ubalozi wao,
Pili kama kuna anayejua njia ya shortcut kutoka hapa Tanzania anijuze,