Msaada: Nataka kuuza gari langu

Msaada: Nataka kuuza gari langu

mchawi-mweupe

Member
Joined
Nov 26, 2019
Posts
34
Reaction score
8
Habari ndugu zangu mimi ninaomba msaada,

Kwa yeyote anayejua niko Mwanza nina gari langu nataka liuza lakini sijui nianzie wapi, na nina shida haraka. Kwa yeyote anayejua ni wapi naweza gari yangu bondi au kuuza kabisa kabisa ili nijikomboe anisaidie niko Mwanza.
 
gari imerudiwa rangi iyo, kwenye bumper kwa chini hapo ilipata ajali au ?
 
Hii Toyota Stout ya mwaka gani? Mbona naona kama AC haifanyi kazi? Afu ipeleke kwanza kwa fundi wa bodi ainyooshe na kuipiga rangi ing'ae ndo utaiuza kwa hizo milioni 35 unazotaka
we ni mhitaji au dalali boss
 
mbona mgumu kuelewa ndgu nani aje in box kwa kitu kisichoeleweka unge weka picha yaani uandike tangazo lililo kamilika syo kama ulivyoandika
kaka nahisi hujanielewa mi nmeomba msaada kwa anayejua ni wapi wanakopesha kwa kuweka bondi au mwenye kuhitaji gari nimuuzie moja kwa moja ,lakini mwenye kujua ni wapi au anahitaji huduma hiyo basi naomba ani inbox ndo tupeane details zote
 
Back
Top Bottom