DIFFENDA Senior Member Jun 23, 2013 110 38 Jun 5, 2023 #1 Habari, Kuna mnada wanauza gari zilizokufa za serikali namba SM na STG. Ninataka kujua taratibu za kubadili umiliki. Je, hatua gani za kufuata? Na Je, Kuna ukweli Kuna uwezekano kulipia ushuru kama gari zikiingia bila ya ushuru? Ahsanteni.
Habari, Kuna mnada wanauza gari zilizokufa za serikali namba SM na STG. Ninataka kujua taratibu za kubadili umiliki. Je, hatua gani za kufuata? Na Je, Kuna ukweli Kuna uwezekano kulipia ushuru kama gari zikiingia bila ya ushuru? Ahsanteni.
sayoo JF-Expert Member Nov 19, 2014 5,271 7,872 Jun 5, 2023 #3 Jack Daniel said: Sasa hao wanaouza si uwaulize? Click to expand... Kupita kimya kimya kwenye jambo ambalo huelewi chochote ni busara Tosha
Jack Daniel said: Sasa hao wanaouza si uwaulize? Click to expand... Kupita kimya kimya kwenye jambo ambalo huelewi chochote ni busara Tosha
Jack Daniel JF-Expert Member Sep 23, 2021 2,154 10,416 Jun 5, 2023 #4 sayoo said: Kupita kimya kimya kwenye jambo ambalo huelewi chochote ni busara Tosha Click to expand... Naomba nisamehe mkuu
sayoo said: Kupita kimya kimya kwenye jambo ambalo huelewi chochote ni busara Tosha Click to expand... Naomba nisamehe mkuu
DIFFENDA Senior Member Jun 23, 2013 110 38 Jun 5, 2023 Thread starter #5 sayoo said: Kupita kimya kimya kwenye jambo ambalo huelewi chochote ni busara Tosha Click to expand... Asante kwa kumjibu huyo mpumbavu
sayoo said: Kupita kimya kimya kwenye jambo ambalo huelewi chochote ni busara Tosha Click to expand... Asante kwa kumjibu huyo mpumbavu
DIFFENDA Senior Member Jun 23, 2013 110 38 Jun 6, 2023 Thread starter #6 DIFFENDA said: Habari, Kuna mnada wanauza gari zilizokufa za serikali namba SM na STG. Ninataka kujua taratibu za kubadili umiliki. Je, hatua gani za kufuata? Na Je, Kuna ukweli Kuna uwezekano kulipia ushuru kama gari zikiingia bila ya ushuru? Ahsanteni. Click to expand... Ushauri tafadhali
DIFFENDA said: Habari, Kuna mnada wanauza gari zilizokufa za serikali namba SM na STG. Ninataka kujua taratibu za kubadili umiliki. Je, hatua gani za kufuata? Na Je, Kuna ukweli Kuna uwezekano kulipia ushuru kama gari zikiingia bila ya ushuru? Ahsanteni. Click to expand... Ushauri tafadhali
Mavindozii JF-Expert Member Oct 20, 2012 2,111 2,759 Jun 6, 2023 #7 Zipo mkuu ila mpaka uwe na mtu hapo sana sana wanauziana wenyewe kwa wenyewe . Kuna minada inafanyika pale Hifadhi ya Ngorongoro jaribu kuchek nao mkuu
Zipo mkuu ila mpaka uwe na mtu hapo sana sana wanauziana wenyewe kwa wenyewe . Kuna minada inafanyika pale Hifadhi ya Ngorongoro jaribu kuchek nao mkuu