Msaada: Nataka kufuta kila kitu kwenye simu

Msaada: Nataka kufuta kila kitu kwenye simu

tiku

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2015
Posts
441
Reaction score
259
Habari, matumaini yangu ni wazima naomba msaada wa kufuta kila kitu kwenye simu maana nimeweka email ambayo nimesahau password yake so nikienda kwenye factory reset inaniambia weka password ambazo Zote sizijui. Nikitaka kubadili email siwezi nisaidieni wandugu zangu nifanyeje!
 
Ila kidogo pagumu unafungua account una set password alafu unaisahau ila fungua nyingine ui active halafu Fanya chochote kupitia hiyo
 
Habari, matumaini yangu ni wazima naomba msaada wa kufuta kila kitu kwenye simu maana nimeweka email ambayo nimesahau password yake so nikienda kwenye factory reset inaniambia weka password ambazo Zote sizijui. Nikitaka kubadili email siwezi nisaidieni wandugu zangu nifanyeje!
Km unataka kufanya factory reset
Ingia setting tafuta neno account kisha utaona account nying nying bonyeza kwny email yako. Kisha upande wa kulia utaona vidot 3 bonyeza hapo utaona neno remove. Click hapo utakuwa umeondoa. Rudi kweny factory default ikiwa bado inaomba email.
Ikishindikana ingia kweny browser km opera au any browser kisha sign in kwa email hiyo inayoomba password andika email yako kisha nenda forgot password watakutumia information za kureset password yako hapa km uliweka namba ya simu ni rahisi kupata.
Km itashindikana fungua email nyingine au km una email nyingine ambayo ipo active itumie kusign in kwny google ukishamaliza ingia kwenye google play sign kwa hiyo email mpya km ya mwanzo uitoe km itashindikana add email kisha nenda kweny default settings
km itashindikana pitia hii njia utakuwa umemaliza kila kitu
Umesahau Password?: JINSI YA KUTOA ANDROID PATTERN LOCK - Kimjoh.com
 
Habari, matumaini yangu ni wazima naomba msaada wa kufuta kila kitu kwenye simu maana nimeweka email ambayo nimesahau password yake so nikienda kwenye factory reset inaniambia weka password ambazo Zote sizijui. Nikitaka kubadili email siwezi nisaidieni wandugu zangu nifanyeje!
Km ni FRP ni simu gani mkuu? Angalia hizi tutorials. Ingia youtube zipo nyingi km itashindikana muone fundi


 
Back
Top Bottom