Armani William
JF-Expert Member
- Jul 3, 2014
- 248
- 734
Nina million 1Una mtaji kiasi gani?
Wewe unafanya biashara kariakoo?cha kufanya umeshajisajili biashara yako brela na unayo TIN NO. pamoja na leseni ?
basi anza kwenda kuangalia fremu kariakoo uanze biashara yako
Na unaongelea biashara ya jumla chief?Nina million 1
Nakuja inboxNa unaongelea biashara ya jumla chief?
Usije mkuu,mimi Ni motivational speaker tu mkuu.Nakuja inbox
SawaUsije mkuu,mimi Ni motivational speaker tu mkuu.
Mtaji huo kwa biashara ya jumla tena kariakooNina million 1
Mkuu kuwa serious biashara ya jumla kariakoo na mtaji wa m1 haiwezekan wakati kuna wamachinga tu kariakoo wana mtaji zaid ya m3Wakuu habari!
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifikiria na kutamani kuingia kariakoo na kufanya biashara ya viatu, shida sijui wapi pakuanzia. Wenye uzoefu naombeni ushauri.
Ahsante
Wewe unafanya biashara kariakoo?Mkuu kuwa serious biashara ya jumla kariakoo na mtaji wa m1 haiwezekan wakati kuna wamachinga tu kariakoo wana mtaji zaid ya m3
Huu ushuzi......Nina million 1
Mbona una makasiriko, nimeomba ushauri. Ni swala la kusema tu mtaji anzia kiasi flani ili biashara iende vizuri. Kuna watu wengine watanufaika humuHuu ushuzi......
unless uniambie unataka kuwa machinga kariakoo tena siku hizi wametolewa
Kwa hyo hela , nenda IFM tafuta mtoto mzuri ule bataNina million 1
Swadakta, nitafanya hivyoKwa hyo hela , nenda IFM tafuta mtoto mzuri ule bata
Anzia hapohapo kariakoo