Hello wapenzi wa Jamii Forum,
Mimi ni mfugaji nafuga kuku aina ya kuroiler wale chotara wana asili ya India wako kama kienyeji hivi
Natafuta soko la kuku hawa je mnaweza mkanipa ushauri kidogo wa masoko je wapi naweza kupata masoko kwa urahc.msaada jamani.
Nafugia Kibaha kwa mathias hata kwa Dar es salaam inakuwa rahc pia kufika nikipata soko zuri.
Ahsanteni.
Mimi ni mfugaji nafuga kuku aina ya kuroiler wale chotara wana asili ya India wako kama kienyeji hivi
Natafuta soko la kuku hawa je mnaweza mkanipa ushauri kidogo wa masoko je wapi naweza kupata masoko kwa urahc.msaada jamani.
Nafugia Kibaha kwa mathias hata kwa Dar es salaam inakuwa rahc pia kufika nikipata soko zuri.
Ahsanteni.