Msaada; Natafuta perfume yenye harufu nzuri

Kumbe watumishi wa bank,plan international na wizarani si watu wa kawaida?!!
Kumbe watumishi wa bank nao sio wa mchezo mchezo.?
Ngoja nikatafute kademu kangu nilikokapiga chini mwezi January kanafanya kazi bank sijui kitengo gani ila mshahara wake laki tatu kamepanga Vingunguti chumba cha single kisicho na umeme choo cha shimo na maji ya madumu bafu passport size.!
Kama kweli wafanya kazi wote wa bank wako njema basi huyu atakuwa anapenda kuishi hivi.
 
Napenda Arabic smell nkispray zile body spray za Arabic, na udi naona swaaafi perfume ya laki 2 ntanunuliwa na future kingbae
 
Kweli ww mbwa dume!
 


Smart guy
 
Jamani kuna mkaka niliwahi kusafiri nae mwanza 2 bukoba alikuwa ananukia ki ukweli nilidata ....natamani nimuulize jina la pafyum aliyotumia nashidwa! Natamani nimuombe no nashidwa......kama yuko humu namtafuta
Achana nae sio mzima au we we sio mzuri

#kwa walionielewa tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…