Flamegood
Senior Member
- Oct 27, 2018
- 129
- 293
Habari wana JF,
Kama head inavyosema hapo juu,
Mimi ni kijana Wa miaka 20 naishi Dar es Salaam, Nina elimu ya kidato cha nne, nilimaliza mwaka 2017 Arusha, ufaulu wangu haukua mzuri kwa kuwa nilipata Daraja la nne, Kutokana na hali duni ya kimaisha wazazi walishindwa kuniendeleza na Chuo, Hivyo nilipomaliza masomo hayo ilibidi nije Dar kwa Mjomba ambae aliahidi kuniendeleza kwenye elimu ya ufundi(mechanical)....
Lakini baada ya kuja huku hakutimiza hilo bali niliishia kufanya kazi katika viwanda vya wachina kwa miaka miwili nikagundua ile kazi haina maslahi nikaamua kuachana nayo na kuanza biashara zangu mbalimbali....Ila kwa sasa naona biashara haziniendei vizuri kwa kuwa nashinda kutengeneza japo 100k per month.......
Hivyo kutokana na hili nikapata wazo kabla ya kugive up na kurudi Mkoani nijaribu kutafuta ajira kama kuna mtu Ana connection yoyote naomba masaada....Ahsanteni
Kama head inavyosema hapo juu,
Mimi ni kijana Wa miaka 20 naishi Dar es Salaam, Nina elimu ya kidato cha nne, nilimaliza mwaka 2017 Arusha, ufaulu wangu haukua mzuri kwa kuwa nilipata Daraja la nne, Kutokana na hali duni ya kimaisha wazazi walishindwa kuniendeleza na Chuo, Hivyo nilipomaliza masomo hayo ilibidi nije Dar kwa Mjomba ambae aliahidi kuniendeleza kwenye elimu ya ufundi(mechanical)....
Lakini baada ya kuja huku hakutimiza hilo bali niliishia kufanya kazi katika viwanda vya wachina kwa miaka miwili nikagundua ile kazi haina maslahi nikaamua kuachana nayo na kuanza biashara zangu mbalimbali....Ila kwa sasa naona biashara haziniendei vizuri kwa kuwa nashinda kutengeneza japo 100k per month.......
Hivyo kutokana na hili nikapata wazo kabla ya kugive up na kurudi Mkoani nijaribu kutafuta ajira kama kuna mtu Ana connection yoyote naomba masaada....Ahsanteni