Umri wangu miaka 35, ni mwanamke. Sijaenda hospital nina wiki moja naona hii hali.Mkuu pole sana kwa maradhi yako. Hujatuambia umri wako? Mwanamke au mwanamume? una kilo ngapi? je umewahi kwenda Hospitali kutibiwa?na je hujapona maradhi yako?una muda gani na hayo maradhi yako?na unaishi wapi?
Nenda kamuone Daktari wa mifupa apate kukutibia ukiwa bado hujapona njoo hapa tena tukupe ushauri wetu upate kupona maradhi yako uguwa pole.Umri wangu miaka 35, ni mwanamke. Sijaenda hospital nina wiki moja naona hii hali.