Habari wanaJF,
Simu yangu nimefanya reset imekubali vizuri tu ila kwenye kipengele cha kulog in na email napata shida na sielewi nifanyaje. Kila email ninayoweka naambiwa
(please sign in for using one of the owner account of this device).
Naomba msaada wenu, nini kifanyike hapa?
Simu yangu nimefanya reset imekubali vizuri tu ila kwenye kipengele cha kulog in na email napata shida na sielewi nifanyaje. Kila email ninayoweka naambiwa
(please sign in for using one of the owner account of this device).
Naomba msaada wenu, nini kifanyike hapa?