Nuoxian
Senior Member
- Mar 15, 2020
- 169
- 237
Nimekuwa nikipata Maumivu makali pindi ninapoenda kukojoa na ikitokea nimechelewa kidogo kwenda kukojoa basi najikuta najikojolea nashindwa katiba kuubana mkojo. Ni siku 4 sasa toka limeanza hili tatizo.
Lakini kitu kikubwa zaid kuanzia jana sio tu nikikojoa mkojo kuuma bali nimeanza na kukojoa damu, msaada mwenye kujua tatizo kama hili.
Lakini kitu kikubwa zaid kuanzia jana sio tu nikikojoa mkojo kuuma bali nimeanza na kukojoa damu, msaada mwenye kujua tatizo kama hili.