M mamitber Member Joined Jul 4, 2016 Posts 28 Reaction score 4 Jul 30, 2016 #1 Nimeapply TCU nikaambiwa hiyo mamba na Nina alikuwa Dodoma university 2012 wakati Mimi sijawai kuomba wala kusoma UDom!nifanyeje jamani?
Nimeapply TCU nikaambiwa hiyo mamba na Nina alikuwa Dodoma university 2012 wakati Mimi sijawai kuomba wala kusoma UDom!nifanyeje jamani?
Madihani JF-Expert Member Joined Apr 30, 2015 Posts 6,326 Reaction score 7,522 Jul 30, 2016 #2 Tulia kwanza ili uandike vizuri.
MTV MBONGO JF-Expert Member Joined Feb 18, 2016 Posts 1,287 Reaction score 1,260 Jul 30, 2016 #3 wafwate TCU ofcn kwa maelezo zaidi