Bas tuambie wewSio kweli
sio kweli nini sasa? Toa hata ufafanuzi kidogo basi.Sio kweli
Hicho ni kipimo cha moyo kwa kutumia ultrasound na huchukua muda wa DKK 5 had 15 kutegemeana na msomaji wa ultrasound
Na bei zake ni Kati ya Tsh15000-30000 kutegemeana na hospital
Echo wanapima hospital ya Regence Tshs 600,000
Temeke ilikuwa elfu 80,000 sijui kwa sasa...
Labda kakurupuka toka usingizinisio kweli nini sasa? Toa hata ufafanuzi kidogo basi.
Jamaa ana stress.Labda kakurupuka toka usingizini
Moro elf 35Echo wanapima hospital ya Regence Tshs 600,000
Temeke ilikuwa elfu 80,000 sijui kwa sasa
Amana walikuwa awana...