mizambwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2008
- 4,422
- 1,791
Wana JF;
Naomba msaada kwa wanaoelewa, kuna utaratibu katika jiji la DSM na hata mikoani kuhusu kutoza ushuru wa maegesho ya magari. Na hii imekuwa ni kwa miaka mingi Manispaa zinakusanya ushuru wa maegesho sehemu mbalimbali mijini yaani jambo la kawaida. Na maeneo haya mengi ni yale ambayo manispaa husika huwa wanafanya usafi (kuna wafanyakazi wa kufagia maeneo) hivyo moja ya matumizi ya pesaile ni kulipa posho / mishahara na pia ni mapato ya manispaa.
Lakini kumekuwa na tabia sasa iimezuka pembezoni mwa jiji la DSM hasa maeneo ya viwandani; unakuta mwenye kiwanda ametengeneza kwa kuweka zege pembeni nje ya ukuta wake. Na wanakuja watu wa kutozaushuru wa maegesho na kuweka kijiwe pale kuanza kubandika makaratai ya ushuru.
Maeneo hayo hawafanyi usafi kwani wafanyakazi wakiwanda ndio wanasafisha na pia hawaja itengeneza hiyo parking.
Najiuliza je, ndilo tamko au sheria imepitishwa na manispaa kukusanya maeneo nje ya mji????
Hofu yangu isiwe ni mradi wa mtu mjanja katika hili, maana kwa kipindi hiki kila mtu anafikiria atoke vipi baada ya mianya kufungwa. huenda ni jipu hili.
Nililishuhudia jana kule Kigamboni Inidustrial Area, Vijibweni DSM.
NAOMBA MSAADA ILI SIKU NYINGINE NIKIENDA NIJIANDAE KUWA NA PESA YA USHURU.
Naomba msaada kwa wanaoelewa, kuna utaratibu katika jiji la DSM na hata mikoani kuhusu kutoza ushuru wa maegesho ya magari. Na hii imekuwa ni kwa miaka mingi Manispaa zinakusanya ushuru wa maegesho sehemu mbalimbali mijini yaani jambo la kawaida. Na maeneo haya mengi ni yale ambayo manispaa husika huwa wanafanya usafi (kuna wafanyakazi wa kufagia maeneo) hivyo moja ya matumizi ya pesaile ni kulipa posho / mishahara na pia ni mapato ya manispaa.
Lakini kumekuwa na tabia sasa iimezuka pembezoni mwa jiji la DSM hasa maeneo ya viwandani; unakuta mwenye kiwanda ametengeneza kwa kuweka zege pembeni nje ya ukuta wake. Na wanakuja watu wa kutozaushuru wa maegesho na kuweka kijiwe pale kuanza kubandika makaratai ya ushuru.
Maeneo hayo hawafanyi usafi kwani wafanyakazi wakiwanda ndio wanasafisha na pia hawaja itengeneza hiyo parking.
Najiuliza je, ndilo tamko au sheria imepitishwa na manispaa kukusanya maeneo nje ya mji????
Hofu yangu isiwe ni mradi wa mtu mjanja katika hili, maana kwa kipindi hiki kila mtu anafikiria atoke vipi baada ya mianya kufungwa. huenda ni jipu hili.
Nililishuhudia jana kule Kigamboni Inidustrial Area, Vijibweni DSM.
NAOMBA MSAADA ILI SIKU NYINGINE NIKIENDA NIJIANDAE KUWA NA PESA YA USHURU.