Habarini,
UKOO WETU UNASIKITIKA KUPOTEZANA NA SHANGAZI YETU
Anaitwa RENATA MAPUNDA.
Ni mzee kwa sasa ikiwa bado yu hai (1953au1954 KUZALIWA). NI Mtoto wa michael mapunda (nuhwahi) na berigna mapunda (kikoi).
Mara ya mwisho kaka zako wamekuona mwaka 1984
Ni mwenyeji wa RUVUMA- MBINGA kijiji cha MPAPA..Ni mmatengo
Aliolewa na Jamson mota (huenda jina sijaandika kwa usahihi) ambaye ni Askari magereza na alikuwa naye Songea kwa miaka ya 80's baada ya hapo walihamia Tanga.
Mpaka anatoka kwenda Tanga kaka zake waliwafahamu watoto wake wafuato
Richard mota, Matrida mota, Beligna, na charles.
Kaka zako GEROLD MAPUNDA, ORESTUS MAPUNDA, OWIN MAPUNDA wanakutafuta.
ILa kaka yako WILBERT MAPUNDA tumemzika 2004.
Wadogo zako Valeriana na Oresta wanakuhitaji pia
Sisi watoto wa kaka zako tunahitaji kujua ulipo.
KWA YEYOTE MWENYE KUIJUA FAMILIA HIYO ATUTAFUTE KWA
0625944024
TUSAIDIENI KUSAMBAZA TAARIFA HII KWENYE MITANDAO MINGINE YA KIJAMII.
- MREJESHO: Renata Mapunda amepatikana
UKOO WETU UNASIKITIKA KUPOTEZANA NA SHANGAZI YETU
Anaitwa RENATA MAPUNDA.
Ni mzee kwa sasa ikiwa bado yu hai (1953au1954 KUZALIWA). NI Mtoto wa michael mapunda (nuhwahi) na berigna mapunda (kikoi).
Mara ya mwisho kaka zako wamekuona mwaka 1984
Ni mwenyeji wa RUVUMA- MBINGA kijiji cha MPAPA..Ni mmatengo
Aliolewa na Jamson mota (huenda jina sijaandika kwa usahihi) ambaye ni Askari magereza na alikuwa naye Songea kwa miaka ya 80's baada ya hapo walihamia Tanga.
Mpaka anatoka kwenda Tanga kaka zake waliwafahamu watoto wake wafuato
Richard mota, Matrida mota, Beligna, na charles.
Kaka zako GEROLD MAPUNDA, ORESTUS MAPUNDA, OWIN MAPUNDA wanakutafuta.
ILa kaka yako WILBERT MAPUNDA tumemzika 2004.
Wadogo zako Valeriana na Oresta wanakuhitaji pia
Sisi watoto wa kaka zako tunahitaji kujua ulipo.
KWA YEYOTE MWENYE KUIJUA FAMILIA HIYO ATUTAFUTE KWA
0625944024
TUSAIDIENI KUSAMBAZA TAARIFA HII KWENYE MITANDAO MINGINE YA KIJAMII.
- MREJESHO: Renata Mapunda amepatikana