Msaada namna ya kupata visa ya Australia

Msaada namna ya kupata visa ya Australia

mdhama

Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
48
Reaction score
19
Dear Jf members, poleni na majukumu. Tafadhali, naomba msaada namna ya kupata visa ya Australia. Nasikia hapa nchini hamna ubalozi na visa ni mpaka Afrika Kusini. Tafadhali yeyote anayefahamu anisaidi. Utaratibu unakuaje? Asanteni.
 
Dear Jf members, poleni na majukumu. Tafadhali, naomba msaada namna ya kupata visa ya Australia. Nasikia hapa nchini hamna ubalozi na visa ni mpaka Afrika Kusini. Tafadhali yeyote anayefahamu anisaidi. Utaratibu unakuaje? Asanteni.

Na kuna hii wizard hapa kwenye website yao itumie itakuonyesha visa unayohitaji, uta-apply wapi na namna gani, gharama nk. http://www.immi.gov.au/visawizard/
 
Mkuu una connection yoyote ya visa za OZ,maana ya Uk imekua tight kidogo.

Mkuu hakuna magumashi ya connection za visa, ni kufata utaratibu.

Apply kazi/ shule, pata then amza kwenda Nairobi wana consular yao hapo.
 
Unataka kwenda Australia kufanya nini? Je unaelewa lolote kuhusu Australia?
nauelewa mdogo,nahitaji bank statement ya 6month, pasport na visa,na reason ni nataka kuendeleza talent yangu ya acting na dancing ili badae niingie Hollywood hivyo naanzia Australia 🇦🇺,hivyo kama kunaalie enda aniambie challenges according to experience.
 
Back
Top Bottom