Msukule Msafi
Member
- Oct 10, 2018
- 55
- 45
Habari wakuu natumai ni wazima. Nilikuwa naomba nipate muangaza kidogo kuhusiana na upataji wa leseni ya biashara aina yenyewe ya biashara ni kama ile ya Kikuu.
Nimejaribu kuuliza inasemekana Manispaa hawatoi leseni hiyo hadi Wizarani. Je Wizara gani na je kuna anayefahamu aidha utaratibu wa kupata leseni ya aina hiyo?
Nawasilisha.
Nimejaribu kuuliza inasemekana Manispaa hawatoi leseni hiyo hadi Wizarani. Je Wizara gani na je kuna anayefahamu aidha utaratibu wa kupata leseni ya aina hiyo?
Nawasilisha.