Msaada: Namna ya kupata barua niliyokosea anuani

Askari Muoga

JF-Expert Member
Oct 22, 2015
6,113
4,658
Kwanza natanguliza shukrani, kuna rafiki yangu ametuma barau kwa njia ya posta ila amesahau anuani yani ameikosea kuandika je atapataje barua yake
 
Back
Top Bottom