Za asubuhi watanzania wenzangu, nimekwangua vocha ya Halotel kwa bahat mbaya namba mojawapo ikafutika hivyo nahitaji kuongea na watoa Huduma kwa Wateja. Nimejaribu kupiga 100 sijafanikiwa kuwapata zaidi ya kupewa maelezo mengine ambayo hayajatimiza haja yangu na sikupata namna nyingne ya kuongea nao. Je kuna uwezekano wa kuongea Nao au Halotel hawana huo utaratibu wa kuongea na Wateja wao?