Msaada namna ya kuomba transfer kwenda chuo kingine

Msaada namna ya kuomba transfer kwenda chuo kingine

TEACHER FRANK MSIGWA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2016
Posts
537
Reaction score
445
Wakuu naombeni msaada namna ya kuomba transfer. Ni procedures zipi inatakiwa nifuate? Kuhusu kigezo cha kujua kama chuo bado kina nafasi, je inatakiwa niende direct chuoni kuulizia kama kuna nafasi?

Msaada wenu wakuu!
 
Nenda direct chuon then uliza kama kuna nafasi. Kama zpo watakupa form za kujaza
 
Wakuu naombeni msaada namna ya kuomba transfer...ni procedures zipi inatakiwa nifuate...kuhusu kigezo cha kujua kama chuo bado kina nafasi je inatakiwa niende direct chuoni kuulizia kama kuna nafasi?? msaada wenu wakuu
Utaratibu wametoa tcu ukiingia kwenye web yao..ni kwamba unaandika barua kwenda chuo unachotaka kuhamia ila ni lazima program unayoomba kuhamia kwenye hicho chuo iwe na nafasi..then chuo ulichoomba kuhamia watapeleka jina lako tcu kabla ya tar 18 november...tcu watatoa majina ya waliohamishwa vyuo na tar 30 nov tcu watapeleka majina hayo HSELB for loan realocation..
 
Fanya kama ulivyo shauriwa huko juu mm nilihama kama walivyokushauri huko juu.ilienda chuo nilicho hamia nikapata nafasi then nikaandika barua ya kuhama, nikaenda kuripot chuo kipya TCU walipata jina langu toka chuo Kipya.
 
Fanya kama ulivyo shauriwa huko juu mm nilihama kama walivyokushauri huko juu.ilienda chuo nilicho hamia nikapata nafasi then nikaandika barua ya kuhama, nikaenda kuripot chuo kipya TCU walipata jina langu toka chuo Kipya.
Mkuu ulifanya huo mchakato lini.na huo mchakato ulitumia siku ngapi...vipi alafu unaenda kuripoti chuo kipya unachoamia mara tu ukishaandika hiyo barua or ukishaandika barua unasubiri mpaka TCU waruhusu na watoe majina ya waliokubaliwa kuama
 
Mkuu ulifanya huo mchakato lini.na huo mchakato ulitumia siku ngapi...vipi alafu unaenda kuripoti chuo kipya unachoamia mara tu ukishaandika hiyo barua or ukishaandika barua unasubiri mpaka TCU waruhusu na watoe majina ya waliokubaliwa kuama
Mchakato inategemea na ww mwenyewe mwaka jana kaka , niliandika barua na sababu zake za kuhama ,ktk chuo cha zamani ila baada ya kupata nafasi tayari ktk chuo kipya,chuo cha zamani ikaandika barua ili nipokelewe chuo kipya, baada ya kupata ile barua nilikwenda TCU , TCU waliisoma then wakaniambia nenda chuo kipya ukaripot then msajili [wa chuo kipya ]atapeleka Taarifa zangu TCU,. umeelewa mkuu??
 
Iyo mwaka jana mkuu mwaka huu tofauti kidogo ukiandika barua skilizia mpaka tcu watoe majina
 
Mchakato inategemea na ww mwenyewe mwaka jana kaka , niliandika barua na sababu zake za kuhama ,ktk chuo cha zamani ila baada ya kupata nafasi tayari ktk chuo kipya,chuo cha zamani ikaandika barua ili nipokelewe chuo kipya, baada ya kupata ile barua nilikwenda TCU , TCU waliisoma then wakaniambia nenda chuo kipya ukaripot then msajili [wa chuo kipya ]atapeleka Taarifa zangu TCU,. umeelewa mkuu??
Ivi Kubadili Fakati inawezekana kama wameshaanza masomo
 
Mchakato inategemea na ww mwenyewe mwaka jana kaka , niliandika barua na sababu zake za kuhama ,ktk chuo cha zamani ila baada ya kupata nafasi tayari ktk chuo kipya,chuo cha zamani ikaandika barua ili nipokelewe chuo kipya, baada ya kupata ile barua nilikwenda TCU , TCU waliisoma then wakaniambia nenda chuo kipya ukaripot then msajili [wa chuo kipya ]atapeleka Taarifa zangu TCU,. umeelewa mkuu??
OK nimekuelewa mkuu..ahsante sana
 
Mchakato inategemea na ww mwenyewe mwaka jana kaka , niliandika barua na sababu zake za kuhama ,ktk chuo cha zamani ila baada ya kupata nafasi tayari ktk chuo kipya,chuo cha zamani ikaandika barua ili nipokelewe chuo kipya, baada ya kupata ile barua nilikwenda TCU , TCU waliisoma then wakaniambia nenda chuo kipya ukaripot then msajili [wa chuo kipya ]atapeleka Taarifa zangu TCU,. umeelewa mkuu??
nsaidie pia jins ya kuandka kama ivoo
 
Wakuu naombeni msaada namna ya kuomba transfer...ni procedures zipi inatakiwa nifuate...kuhusu kigezo cha kujua kama chuo bado kina nafasi je inatakiwa niende direct chuoni kuulizia kama kuna nafasi?? msaada wenu wakuu
Mbona umeuliza swali ambalo naona kama una majibu yake????
 
nsaidie pia jins ya kuandka kama ivoo
wewe andika tu kama barua zingine ''kuomba uhamisho kutoka chuo chako kwenda chuo ....................... then unaipitisha kwa dean of faculty yeye ndie atakuandikia mara nyingi huwa zinakuwa tayari kwa baadhi ya vyuo.
 
Back
Top Bottom