M matubara JF-Expert Member Joined Jul 25, 2012 Posts 226 Reaction score 90 Oct 13, 2015 #1 Wadau naomba mwenye kujua namna ya kujitoa simu tv kwenywe android yangu kwani siitumii na inakata tu hela yangu kila siku.
Wadau naomba mwenye kujua namna ya kujitoa simu tv kwenywe android yangu kwani siitumii na inakata tu hela yangu kila siku.
Medecin JF-Expert Member Joined Nov 29, 2011 Posts 8,763 Reaction score 24,141 Oct 13, 2015 #2 ulidhani simu ingekuwa tv? nijibu kwanza ili nikuelekeze kujitoa
G George Mhongole Member Joined Sep 19, 2015 Posts 12 Reaction score 0 Oct 14, 2015 #3 Haa Haa haaaa imekula kwako
SUPER PREDATOR JF-Expert Member Joined Apr 29, 2014 Posts 2,093 Reaction score 725 Oct 14, 2015 #4 Usiongeze Salio au weka line nyingine hiyo hamishia kwenye simu ya tochi.
M Mp Kalix2 JF-Expert Member Joined Oct 4, 2010 Posts 5,940 Reaction score 3,048 Oct 14, 2015 #5 matubara said: Wadau naomba mwenye kujua namna ya kujitoa simu tv kwenywe android yangu kwani siitumii na inakata tu hela yangu kila siku. Click to expand... Uninstall toka kwenye aplication.
matubara said: Wadau naomba mwenye kujua namna ya kujitoa simu tv kwenywe android yangu kwani siitumii na inakata tu hela yangu kila siku. Click to expand... Uninstall toka kwenye aplication.
redcarpet JF-Expert Member Joined Jul 25, 2014 Posts 236 Reaction score 208 Oct 14, 2015 #6 Itoe hyo app sii lazima kuwa nayo