Kugeuka
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 331
- 221
Habari za jioni wanajamvi.
Naomba kwa yeyote mwenye ujuzi au anayejua namna ya ufugaji wa samaki. Upatikanaji wa mbegu, uchimbaji wa kisima, chakula, muda wa kuvuna toka kupanda na namna ya upatikanaji wa soko la uhakika.
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kwa yeyote mwenye ujuzi au anayejua namna ya ufugaji wa samaki. Upatikanaji wa mbegu, uchimbaji wa kisima, chakula, muda wa kuvuna toka kupanda na namna ya upatikanaji wa soko la uhakika.
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app