Msaada: Namna ya kufuga samaki

Kugeuka

JF-Expert Member
Jan 16, 2014
331
221
Habari za jioni wanajamvi.

Naomba kwa yeyote mwenye ujuzi au anayejua namna ya ufugaji wa samaki. Upatikanaji wa mbegu, uchimbaji wa kisima, chakula, muda wa kuvuna toka kupanda na namna ya upatikanaji wa soko la uhakika.

Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka kua makini na January ila pia mimi ni mtaalamu nimesoma Fisheries nyegezi na nikamaliza degree yang u SUA nikuombe nikuweke kwenye group langu ujifunze kisha utauliza na ukijihakikishia niambie 0769752665 nicheck WhatsApp
Habari za jioni wanajamvi.

Naomba kwa yeyote mwenye ujuzi au anayejua namna ya ufugaji wa samaki. Upatikanaji wa mbegu, uchimbaji wa kisima, chakula, muda wa kuvuna toka kupanda na namna ya upatikanaji wa soko la uhakika.

Asante

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom