Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,110
- 2,787
Kuna launcher kama TSF ina sehemu ya kufichaHello Gentleman and ladies,
Naomba msaada wenu jamani, nataka niwe naficha Apps kama vile ya Badoo au truecaller ili mtu asione nitafanyaje wakuu wangu.
Msaada please.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nova ina hiyo option?!. Maelekezo tafadhari brosamsung baadhi unaficha, launcher inayokuja na simu inakubali,
alternative download nova launcher,
ni prime feature, mimi nova yangu nilinunua,Nova ina hiyo option?!. Maelekezo tafadhari bro
Google nova launcher prime free download utapata link nying tu ztakazokupa nafasi ya kudownload nova prime.
hawa jamaa wa ocean kila kona wapo, app yoyote unayotaka search site zao kwanza then ukikosa ndio nenda kwengine
Pole sana mkuu, umekuwa Mtumwa wa Mali yako, ukiwa muwazi kwenye mapenzi unakuwa huru sanaHaaaa haaa Jamaa anataka ku hide badoo, wife keshamshtukia haa haaaa, mie kaka sumsung nikibonyeza apps thn kwa juu kuna optn ya ku hide, mie hata notification zote ziko off si whatsap gb wala kawaida, hadi za insta, facebook, hukut kitu kiki pop up
Sent using Jamii Forums mobile app
Nishaachana na huo utumwa mkuu maana unakuwa na presha kila saa, yaan magomjwa mengine tunajitafutia wenyewePole sana mkuu, umekuwa Mtumwa wa Mali yako, ukiwa muwazi kwenye mapenzi unakuwa huru sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi kabisa Mkuu, Mimi binafsu make wangu anashinda na simu yangu nami pia vivyo hivyo, japo sipendi sana kupekua pekua simu ya wife ila kiufupi wore tumekutana ambao simu hazitupi shidaNishaachana na huo utumwa mkuu maana unakuwa na presha kila saa, yaan magomjwa mengine tunajitafutia wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app