Msaada: Namna ya kuapply ualimu ngazi ya Certficate

Msaada: Namna ya kuapply ualimu ngazi ya Certficate

Wenzako Tupo Kitaa Mwaka Wa 3 Baba Jesca Ametuweka Reserve tunapambana Na Hali Zetu.
"Mwalimu Ni Kioo cha Jamii"

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Ukipata nafasi njoo nikupe vitini vya kujisomea maana mimi saivi mikono ipo kichwani kwanini nilisoma ualimu tangu 2015 hadi leo wanahakiki miaka hii ipo kwenye diary

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ujibuji huu wa maswali, ni bora mlivyokuwa hamjapata ajira. Mtawasumbua wanafunzi wanaopenda kuuliza maswali.
 
Aseee hivi kweli bado unataka kuwa mwalimu kozi zipo nyingi mkuu Fanya tafiki karne hii ualimu uajiajiri kweli?

Sent using Iphone 7+
 
Kwa ujibuji huu wa maswali, ni bora mlivyokuwa hamjapata ajira. Mtawasumbua wanafunzi wanaopenda kuuliza maswali.
Inaonekana wewe sio mhanga ushauri wangu asiende ualimu ni uharibifu wa muda tu! Aende tu veta

jina langu
 
Back
Top Bottom