ufumawicha
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 510
- 213
Wana JF,
Naomba mwenye uzoefu na kitu hicho anipe utaratibu.Nimeamua nataka kuwa mfanyabiashara.
Naomba mwenye uzoefu na kitu hicho anipe utaratibu.Nimeamua nataka kuwa mfanyabiashara.
Nyengeza:-
1.Malipo yanayofanyika Tra ni kwa mapato ya serikali Kuu
2.Malipo yanayolipiwa halmashauri zote nchini ni kwa ajili ya halmashauri zenyewe ktk majukumu mbalimbali ya kijamii ie ujenzi wa Barbara,madarasa,hospitality nk