Ahsante sana mkuu nashukuru na jinsi ya kujaza ndio sijajua wanajaza vipi kkNenda Mabibo hostel. Uliza mahali wanapojaza wino printer watakusaidia... Kujaza 'kichupa' kimoja ni kati ya
Tsh 5000-6000. Kama vimeisha vichupa vyote viwili, andaa sh elfu kumi hadi kumi na mbili...
Kama unaweza kuchomoa vile vichupa, vichomoe uende navyo. Unafungua mfuniko wa printer utaona vile vichpa vinasogea katikati. Viko viwili, cheusi na cha pink. So unavibenjua kwa juu vinachomoka.Ahsante sana mkuu nashukuru na jinsi ya kujaza ndio sijajua wanajaza vipi kk
Shukrani mkuuKama unaweza kuchomoa vile vichupa, vichomoe uende navyo. Unafungua mfuniko wa printer utaona vile vichpa vinasogea katikati. Viko viwili, cheusi na cha pink. So unavibenjua kwa juu vinachomoka.
Wale wa kujaza huwa wanavidunga sindano kuna kitobo fulani na kuinject wino.